Makapuku Forum

Hehehe sa D ikiwa ufaulu wale wa A nao wasemeje
Unakuta ma-genious wanabishana wakisema swali limekosewa.
Lakii ww kwa umbulula wako hata hilo ukuliona na unaona liko sawa tu.

Yani siwafichi member wenzangu unakuta wenzako wanomba four figure lakini wewe unabaki umehamaki tu
Au na ww unaomba kama kuzuga uone kama na ww umo

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…