Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,225
- 39,938
Licongo mpaka mikorogo
![]()
![]()
![]()
![]()
............
mwanangu G-string inakutoa mwanangu

Licongo mpaka mikorogo
![]()
![]()
![]()
![]()
............
mwanangu G-string inakutoa mwanangu

Asante sanaNmerudi tena..
Stori ilikuwa tamu sanaaa sijui kwanini wameifanya fupiIpo kwenye post
#67059
#67090
#67178
#67209
#67368
#67386
Kwa wale ambao wanataka kuisoma, coz kuitafuta huku porini si kitoto.
Hapa hapa KFAhsante, nikae wapi???
Aah wapiLeo zamu ya Griezman kulipa kisasi![]()
![]()
Wapi??? FranceAah wapi
Wapi??? France

100Hapa hapa KF
Heshima kwake Dangote1) He wajua?
Aliko Dangote, raia wa Nigeria alianza biashara akiwa name umri wa miaka 21. Alianza na mtaji wa $3,000 mkopo aliopewa na mjomba wake kwa ajili ya kununua na kuuza mazao nchini mwake. Biashara hiyo ilimpa ufanisi kwa kipindi kifupi na kufanikiwa kurejesha mkopo ndani ya miezi 3. Kwa sasa anamiliki utajiri wa $17 billion, zaidi ya bajeti ya serikali ya tz 2016/2017View attachment 364916View attachment 364917
Kwa kweli anastahiliHeshima kwake Dangote
Pamoja mkuu...leo nipo UfaransaNilikuwa church muungwana
![]()
![]()
![]()
...........
Mafalansa
![]()
![]()
............
Mwisho wenu ni leoMi Portugal![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa sheikh Yahya sisi hata ball poszesion iwe 10% hatufi ng'o tunacheza matokeo siyo mpiraLazma mfungwe
![]()