Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Sawa sheikh Yahya sisi hata ball poszesion iwe 10% hatufi ng'o tunacheza matokeo siyo mpira
Mafalansa azi mnayo
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Sawa sheikh Yahya sisi hata ball poszesion iwe 10% hatufi ng'o tunacheza matokeo siyo mpira
Mafalansa azi mnayo
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Na uzi wako wa EURO ndo unawlekea mwisho .......sijui utakuja na nini tena mi naweza kubuni kitu kule lkn si unajua umaarufu unaleeta shida ndio maana sianzishi thread mahali popote zaidi ya kuboresha za zamani
Nitakuja na kitu kipya...tega sikio tu mkuuNa uzi wako wa EURO ndo unawlekea mwisho .......sijui utakuja na nini tena mi naweza kubuni kitu kule lkn si unajua umaarufu unaleeta shida ndio maana sianzishi thread mahali popote zaidi ya kuboresha za zamani
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Nakukubali sana....unajua kila ninapoenda kureply wasaka kick wanataka kuniquote kwa wema au ubaya so bora niwe napita kimyakimyaNitakuja na kitu kipya...tega sikio tu mkuu
Kesho nitawaletea hadithi iitwayo THE ESCROW MISSIONAsante sana
Hadithi ilikuwa tamu sana
Kamanda Amata na Gina wanastahili pongezi sana
Salama kabisa, karibu mwanafamiliaHabar zenu ndugu zangu
Asante Sana'aSalama kabisa, karibu mwanafamilia
We Kikofia utafungwa shauri yako...hatutakuchangia ht sentiKesho nitawaletea hadithi iitwayo THE ESCROW MISSION
Nasubiri kwa hamu sanaKesho nitawaletea hadithi iitwayo THE ESCROW MISSION
Ni poa ShemZa mda huu humu ndani
Nzuri sana ndugu, umepotelea wapiHabar zenu ndugu zangu
Kijana vp upoZa mda huu humu ndani
Nipo ndugu yanguNzuri sana ndugu, umepotelea wapi
Safi tu Shem. Naona weekend ndo inaisha hivyoNi poa Shem
Habar ya wewe??
Yap ShemSafi tu Shem. Naona weekend ndo inaisha hivyo
Hakuna namna ipende tu sababu ipo mpaka mwisho wa sayari hiiYap Shem
Na kesho ndio ile siku nisiyoipenda