NUKUU NO 2# kwa kweli kwetu sisi uhuru wa watu kujipangia mambo yao wenyewe na kuweza kujiendeleza wenyewe katika hali zenu ni sehemu muhimu ya shabaha yetu; Maneno hayo yalitamkwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, September 1971, alipo kuwa akielezea kuhusu maendeleo ya miaka kumi ya uhuru. Nyerere alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999