Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Huyo sio dogo......Renato ndo dogoMh!!! Hapo wana kazi, maana dogo kapiga mpira mwingi sana game zilizopita!!!
...........
Huyo sio dogo......Renato ndo dogoMh!!! Hapo wana kazi, maana dogo kapiga mpira mwingi sana game zilizopita!!!
Nataka Portugal washinde ila sio kwa matuta, ule ushindi wa matuta unanichosha
Ana swaga sana kijanaNgoja tumsikilie sera zake tuone
Kabla hii wiki haijaisha hakikisha Chumvi na Ngedere wanakuwa chini...Mh!!! Hapo wana kazi, maana dogo kapiga mpira mwingi sana game zilizopita!!!
Unamjua???Ana swaga sana kijana
Kwa umri wangu ye dogo tuHuyo sio dogo......Renato ndo dogo
...........
Unamsikiliza???Ngoja tumsikilie sera zake tuone

PoaKabla hii wiki haijaisha hakikisha Chumvi na Ngedere wanakuwa chini...
Kila la heri kwa kumtupa kibosile
Licongo liongo ndo 7bu unaishi mtaa wa CongoKwa umri wangu ye dogo tu
ApiyaLicongo liongo ndo 7bu unaishi mtaa wa Congo
![]()
![]()
![]()
![]()
...........

Si bado hajaanza kutitirika?? Ntamsikiliza ndio kwani shs ngapi??Unamsikiliza???![]()