Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,234
- 68,270
Uko wapi?Kasoro mie
Uko wapi?Kasoro mie
Home tuUko wapi?
BwahahahahahaaaTakuma AsanoView attachment 363583

Nimezani mumekunywa ile muvinyo ya siku ile akaangushaga mugariHajaonekana hapa leo toka kumekucha
Jana alidai ana mwaliko kwa watu amazing sana temeke hivyo atakuwa huko

Ndo kutufungia hivyo vioo???Yuko temeke anakula mwaliko
Vya bure vinagharama yake, ukimaliza kula na kunywa sharti uanze kumsifia aliyekuwezesha, mara oooh chakula kitam balaa. Mara oooh wew ni mtu mkarimu sana.Ndo kutufungia hivyo vioo???
Msome bitozMi nipo gheto nakunywa togwa naogopa kurogwa kwa kulishwa hayo maboga huko viwanja visivyo ht na mboga lazima niwe muoga japo nishaoga
![]()
![]()
![]()
![]()
........
ameshasemaBitoz leo karata yako wapi???
BwahahahahahaaaVya bure vinagharama yake, ukimaliza kula na kunywa sharti uanze kumsifia aliyekuwezesha, mara oooh chakula kitam balaa. Mara oooh wew ni mtu mkarimu sana.
Huwezi kula vya watu umalize na kuaga mkuu

Ukweli mtupu, papaaBwahahahahahaaa![]()
Papaa umeua ile boxxBwahahahahahaaa![]()
Bado hujaufika kabisa..... Ila ahadi ndo bado ipo pale paleNimezani mumekunywa ile muvinyo ya siku ile akaangushaga mugari![]()
Mbona nilimwambia aende tu??Jimena hakuridhia hiyo safari
Mbona nilimwambia aende tu??
Siwezi kataza mtu kwenda temeke
Umeniumbua
