Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hizo ni njia rahisi za kuacha tabia usiyopenda,
Hata kama ni sigara, ulevi nk
Unachotakiwa ni kuiaminisha sub conscious mind yako kuwa hupendi kile kitu kisha utajikuta polepole unaacha na ndio maana zoezi hili unatakiwa urudie rudie
Kwa hiyo hii njia pia nikiitumia kwenye masomo unahisi kuwa nitafanikisha adhima yangu?
 
We kwako rahisi ni ipi? Tumia iliyo rahisi kuifanya
Naona rahisi zaidi ni kujirekodi.. coz ntakuwa naisikiliza kila wakati nikiwa nmechil lonely.
Like this[emoji116]
f51dec4aee94f3583cba6ff2c70af587.jpg
 
Back
Top Bottom