Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ok safi sana, ndo uzuri wa kujielewa huo, unajicontrol na kucontrol mazingira yanayokuzunguka usikwaruzane na watu
Yes
Mimi ni mgumu kuongea na mgumu kusahau
Na ni rahisi ku end mambo nikiona mtu hanielewi au ni rahis kufuata yeye anacho taka zaid
Ila ni rahisi pia ku mu aviod yeye kama nikiona ina shndkana

I think ndo nilivo tuu
 
Hizo ni njia rahisi za kuacha tabia usiyopenda,
Hata kama ni sigara, ulevi nk
Unachotakiwa ni kuiaminisha sub conscious mind yako kuwa hupendi kile kitu kisha utajikuta polepole unaacha na ndio maana zoezi hili unatakiwa urudie rudie
Aisee, kuna rafiki yangu huyo amefeli kabisa kuacha sigara ngoja ntampa hii tiba
 
Kwa hisani ya plain yogurt, chia seeds,strawberry na ndizi [emoji116] [emoji116]
1467757970918.jpg

Naomba niwatakie usiku mwema wapendwa
 
Back
Top Bottom