Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
we jifariji tuuHuyu mtoto utabakia kumuita shemeji tu.
we jifariji tuuHuyu mtoto utabakia kumuita shemeji tu.
Hakuna hata First Lady....nawasoma tu wenye viherehere zen nachukua kiulainiMbona umeiongea kiuoga hivyoooo Nina wifi humuuu? Mwambie mie sista ako wa damu....
Hahahaha mimi mzima kabisa,siku imeenda japo hakisomeki huyu Magu huyuuuuuTabia mbaya hii sasa![]()
![]()
Mzima? Siku yako imeenda vizuri?

Hahahaha mimi mzima kabisa,siku imeenda japo hakisomeki huyu Magu huyuuuuu![]()
Pole weeHakuna hata First Lady....nawasoma tu wenye viherehere zen nachukua kiulaini
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.............................
wee chukua tu ila usije tu ukatuanzishia thread nitakuchamba na makapuku wenzangu.elufu sita mia sita ishirini na mojaPost elufu sita mia sita kumi na tano![]()

Asante Wangu labda tujaribu kesho mweee!!!!!!![]()
Pole wee
Kesho nayo siku pia. Kwa leo pumzika tuAsante Wangu labda tujaribu kesho mweee!!!!!!
![]()
![]()
![]()
![]()
wee chukua tu ila usije tu ukatuanzishia thread nitakuchamba na makapuku wenzangu.
Aiseee weee nomaaa yaani umeitaja na imekuwa Ile ileelufu sita mia sita ishirini na moja
![]()
7000 inakuhusu ....Bando tatizo kaka, si umeona hata watu wameamua kuanzisha hii movement ya "Makapuku "Umekuwa adimu mno huku kila kitu shwari vijana wanalisongesha na spidi yao usipime
Hiyo inanihusu kabisa, nyie wote mkae pembeniAiseee weee nomaaa yaani umeitaja na imekuwa Ile ile![]()
![]()
![]()
7000 inakuhusu ....

Mi ntalianzisha tu hata kwa gobore ...Rais ni Mungu mdogo...hawezi kusemwasemwa na wananchi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......................
Bando tatizo kaka, si umeona hata watu wameamua kuanzisha hii movement ya "Makapuku "

Itabidi tuiombee udhamini kwa tigo hii Makapuku iwe ni free data kama FB.....Bando tatizo kaka, si umeona hata watu wameamua kuanzisha hii movement ya "Makapuku "
Zikikaribia kufika 6995 uniambie.elufu sita mia sita ishirini na moja
![]()
Sikuambii aisee. UtanipitaZikikaribia kufika 6995 uniambie.