Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Sasa jitahidi basi ili usiwe unakosekanaSana every member hapa akikosekana hata siku 2 tu uwa naskitika sana
Sasa jitahidi basi ili usiwe unakosekanaSana every member hapa akikosekana hata siku 2 tu uwa naskitika sana
Mkuu tafuta habari ya jina hili au mwombe jimena akusaidie, huyalichezea tena,Hehehe kigili
Ahsaaanteee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa ni shida nyingineLile jina likikuwa linaendana na neno Kij*mbio
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora amelikana aiseee
Jewish name[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
QUIGLEY sasa hili jina nmeshalishika.. maana sijui hata ni lugha gani hi
Ha ha ha ha ha nachekaje sasa hapa.....Hahahahaa kuna tatizo kwani? Mpeleke tu morocco
HahahaaHahahahaa kuna tatizo kwani? Mpeleke tu morocco
Watu flan hivi amazingNani kakualika
Macho hayo utamwagiwa upupu[emoji102] kama nakuona vile, teh..
HeheheheheSio kigili ni KIGLI
[emoji125] [emoji100]Swala tu kwamba iko Afrika basi jua ya kwamba ni nzuri....
Ukimchunguza sana mbwa huwezi kumla
(aah kumbe mbwa haliwi[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] )
Inaelekea umedhamiria dadake
Serengeti!!! Hatuna hiyo safari mam
Mimi unajua kabsa nikikosekana ni kuwa sina jinsi ila kila tyme napenda niepo hapa na weweSasa jitahidi basi ili usiwe unakosekana
Umealikwa na namba 2 eeeWatu flan hivi amazing
Sawa kaka ni jina zuriMkuu tafuta habari ya jina hili au mwombe jimena akusaidie, huyalichezea tena,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Hehehehehe
[emoji125] [emoji100] [emoji113]
Jina gum ika kali sana nmelipenda
Ok sawa lakin hapo kwenye mbwa labda tumuulize ndugu yetu Szczesny mana kuna siku nlimskia anasema anatokea pande zile ambazo kwao mbwa hana tofauti na mbuzi au kitoweo chochote [emoji4] [emoji4]Swala tu kwamba iko Afrika basi jua ya kwamba ni nzuri....
Ukimchunguza sana mbwa huwezi kumla
(aah kumbe mbwa haliwi[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] )
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji3] [emoji81] [emoji81] [emoji3]ngoja niwaambieni siri ambayo najua hamuifahamu..
hivi mnajua kuwa mimi ndo Diamond plutnumz au Nasibu Abdul?
Ila siwalaumu kwa kutokunifahamu mapema.. najua tatizo ni hii ID fake ninayoitumia..
Ila msije mkawaambia member wengine hapa Jf. Hii storry ibakie hapa hapa KF![]()
Usidhani ukiwa na jina kubwa @ mtu atakufagiliangoja niwaambieni siri ambayo najua hamuifahamu..
hivi mnajua kuwa mimi ndo Diamond plutnumz au Nasibu Abdul?
Ila siwalaumu kwa kutokunifahamu mapema.. najua tatizo ni hii ID fake ninayoitumia..
Ila msije mkawaambia member wengine hapa Jf. Hii storry ibakie hapa hapa KF![]()