Picha zinatosha na zipo poa coz zinatakiwa sura zao tuWakuuu hapo ndio mwisho wa Je wajua?
Kwa siku ya leo, ruksa kujazia nyama, picha nk.
Wenu Quigley...mmbarikiwe woteeeee
Mkwara umesaidiaB I T O Z uwanja ni wako mapemaaa uacha visingizio kuwa tunachelewa kumaliza..kazi njema sportman
PoapoaPicha zinatosha na zipo poa coz zinatakiwa sura zao tu
sina cha kuongeza
.............
Winston Chuchhill
Huyu alikuwa waziri mkuu wa Uingereza kipindi cha ww11 na aliweza kuunganisha nchi washirika na majeshi ya nchi yake, hatimaye wakashindaView attachment 362588
Uko sahihi sanaAnachukuliwa kama mmoja wa viongozi hodari duniani wakati wa vita kuu ya pili ya Dunia.
Pia amehudumu kama Waziri Mkuu wa Uingereza mara mbili tofauti.
Je wajua imefukunyua jaribu ku igoogle habari hii, utaifurahia...mao zedongHii sikuwahi kuisikia kabisa
Inasemekana alimfanyia fitna Camilo Cienfuegos ( Jamaa aliyepo kwenye avatar yangu ) na kumpoteza duniani.15)tunahitimisha na namba 15 kiboko ya Marekani sio mwingine ni Fidel Castro na rafiki mkubwa wa Che GuavaraView attachment 362605
Naona kuna milima pale
Fundi mwenye gundiNaona kuna milima pale
Daaa walimuua akiwa dogo sana 27yrs!Inasemekana alimfanyia fitna Camilo Cienfuegos ( Jamaa aliyepo kwenye avatar yangu ) na kumpoteza duniani.
By the way ni mmoja kati ya viongozi makini waliowahi kutokea katika uso wa dunia na namkubali sana kwani kama sio ushupavu wake leo hii Cuba ingekuwa sehemu ya USA.
Kiongozi pekee aliyenusurika majaribio mengi ya kuuwawa. Majaribio 82.
Hapo unatawanya [emoji12]Fundi mwenye gundi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Inasemekana alimfanyia fitna Camilo Cienfuegos ( Jamaa aliyepo kwenye avatar yangu ) na kumpoteza duniani.
By the way ni mmoja kati ya viongozi makini waliowahi kutokea katika uso wa dunia na namkubali sana kwani kama sio ushupavu wake leo hii Cuba ingekuwa sehemu ya USA.
Kiongozi pekee aliyenusurika majaribio mengi ya kuuwawa. Majaribio 82.
Km vile navundisha bombaHapo unatawanya [emoji12]