Hii naikubali 100%NUKUU NO #2. Kama matendo yako yanahamasisha wengine kuwa na ndoto zaidi,kujifunza zaidi, kufanya zaidi na kujitambua zaidi, wewe ni kiongozi. Maneno haya yalisemwa na Rais wa sita wa Marekani, John Quincy Adam. Aliyeongoza taifa hilo Kati ya mwaka 1825 mpaka 1829. Alizaliwa Julai 11,1767 na kufariki Dunia Feb 02,1848.
Shukrani sana mkuuNimefikia tamati ya nukuu ya leo,jioni njema tchao
Sasa we unaweza kuendelea muda huu, kwavile shululu amemalizaNiliomba uweke ratiba ya jioni kati ya shululu, mzee wa 10 na jambilo...nani aanze, afuate nani na yupi amalizie ili kutoa nafasi kwa family kufuatilia na kuchangia
ndo maana wengne hawa diniNguzo kuu ya IMANI/DINI ni Amini & Utii hata km unahisi kudanganywa
..........
NUKUU NO #2. Kama matendo yako yanahamasisha wengine kuwa na ndoto zaidi,kujifunza zaidi, kufanya zaidi na kujitambua zaidi, wewe ni kiongozi. Maneno haya yalisemwa na Rais wa sita wa Marekani, John Quincy Adam. Aliyeongoza taifa hilo Kati ya mwaka 1825 mpaka 1829. Alizaliwa Julai 11,1767 na kufariki Dunia Feb 02,1848.
ili wachache wafaidi duniaHapa ndio tatizo lilipoanzia.....
Ila nayo ina faida zake ikiwemo kuwafanya watu waache kutenda mambo mabaya kwasababu ya hofu
Huwezi mimi Mkatoliki halafu unapinga ile sio picha ya Yesundo maana wengne hawa dini
Ndio maana yakeili wachache wafaidi dunia
EURO 1/4 FINAL
POLAND V PORTUGAL
SAA 4 USIKU
......................
kapuku forum ni nomaKila nikichungulia naona mwachanja mbuga hadi natamani kuwepo but majukumu ndo hivyo tena...
hatari kweli kweliNdio maana yake
ππ±ππHuwezi mimi Mkatoliki halafu unapinga ile sio picha ya YesuHapo sasa huna imani
..........
huyu jamaa ,udevu kama beberu,hana jipya
Imani noma sana wapo hadi wanaoacha kwenda hospitali kutibiwa ili tu waombeweππ±ππ
ratba ya nini mkuu wengne tunakaa dayNiliomba uweke ratiba ya jioni kati ya shululu, mzee wa 10 na jambilo...nani aanze, afuate nani na yupi amalizie ili kutoa nafasi kwa family kufuatilia na kuchangia
ni kwel,mwingne kajruhiwa anaimani kidonda ktapona kwa imanImani noma sana wapo hadi wanaoacha kwenda hospitali kutibiwa ili tu waombewe
.......
ahsante upo vinzurNimefikia tamati ya nukuu ya leo,jioni njema tchao
Only In Africani kwel,mwingne kajruhiwa anaimani kidonda ktapona kwa iman