Makapuku Forum

Hii naikubali 100%
 
Niliomba uweke ratiba ya jioni kati ya shululu, mzee wa 10 na jambilo...nani aanze, afuate nani na yupi amalizie ili kutoa nafasi kwa family kufuatilia na kuchangia
Sasa we unaweza kuendelea muda huu, kwavile shululu amemaliza

Yule mzee wa 10 kubwa ye ratiba yake huwa anapishana na Bitoz kwavile muda ule wakati fulani huwa kunakuwa na mpira ila wenyewe wanajua wanavyopangana na mambo yanaenda sawa
 

........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…