Makapuku Forum

Naweza kukuthibitishia pia
Ila kwanza utoke nje ya box na kuwa huru.... Yapo maandiko kadhaa yanayoweza kukusaidia kuelewa hii
Aaah
Mi niko nje lakin hapo mam ushhid ni mdogo sana

Au na wewe una wafuata kina Anta diop[/QUOTE]
Mi kwanza nilikuwa naamini kama wewe, ila baadae nikaamua kuwa free na akili yangu ikawa huru kabisa kujifunza sababu sikuwa nafungwa na sheria wala taratibu zozote, na nashukuru kuwa nimepata nafasi ya kujifunza mengi na bado naendelea kujifunza zaidi na zaidi


Kuhusu Ushahidi uliopo ni wa kutosha.... Na wengi wanaoamini hilo ni waafrika tu duniani watu walishaachana na hizo mambo za kuamini kitu bila uthibitisho.....
Kwani we una ushahidi gani kuwa yesu alikuwa mweupe???
Sitaki kwenda deep zaidi ila najua utakuwa umepata mwanga
Sasa soma na ujifunze zaidi zaidi kisha majibu utayapata
 
Point
 
Very very true, ila sasa ndo wameshaishikilia teknolojia mi nafikiri waafrika tungeanza kwa kubadilisha kwanza hizi mindset na perception, haya mambo tunayofundishwa shule kwenye history kwamba tumeoriginate kutoka kwa nyani ndo yanatuharibu kuanzia mwanzo kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…