Makapuku Forum

Haha hii ya kuhack ni kiboko... na tunapowataja akina Michael Jackson, Mike Tyson, Mohd Ally tusiwasahau pia Michael Jordan na Eddy Murphy hawa wote kwa ujumla walipaisha sana ngozi nyeusi
 
Haha hii ya kuhack ni kiboko... na tunapowataja akina Michael Jackson, Mike Tyson, Mohd Ally tusiwasahau pia Michael Jordan na Eddy Murphy hawa wote kwa ujumla walipaisha sana ngozi nyeusi
Nakupa mfano simple tu....
Hivi kuna mzungu gani unaemjua anaeweza kubeba msalaba kwa umbali mrefu tena akiwa katika hali ile????
Huu mchezo hauhitaji hasira mkuu
Haya mambo tukiamua kuingia deep basi itakuwa mwisho wa Brain washed
Ila sidhani kama wazungu wataruhusu hilo
 
Safiiiiii
Kwanza naomba kujua utakuwa unaleta muda gani?? (Hii itasaidia ili tuwe tunapishana muda kuwapa ladha tofauti Makapuku na pia tuweze kujazia nyama)
Kuhusu ushauri utafuata polepole kadri itakavyokuwa unatiririka
Hongera sana kwa ubunifu
 
Walituzid ujanja mapema hawa wazungu wakafanya hizi figisu, huwa nashangaa inakuaje hata hao malaika wote na hata watakatifu wanakua ni wazungu tu dah!
 
Walituzid ujanja mapema hawa wazungu wakafanya hizi figisu, huwa nashangaa inakuaje hata hao malaika wote na hata watakatifu wanakua ni wazungu tu dah!
Wanasababisha Mungu aonekane ana upendeleo,
Ila hii yote ni kwasababu hatufikirii na tusipoamka sasa basi ... Zikipita karne kadhaa hata hawa Kina Michael Jackson, Martin Luther utasikia ni wazungu na watawekwa katika record zote (kumbuka wao ndo wanaozimiliki record za dunia) na watu watakaokuwepo wengi tu wataamini
 
Safiiiiii
Kwanza naomba kujua utakuwa unaleta muda gani?? (Hii itasaidia ili tuwe tunapishana muda kuwapa ladha tofauti Makapuku na pia tuweze kujazia nyama)
Kuhusu ushauri utafuata polepole kadri itakavyokuwa unatiririka
Hongera sana kwa ubunifu
Ningependelea hasa jioni ndipo naweza kuwa na utulivu wa kuposti na nisingependa kuingilia ratiba ya shululu na mzee wa 10. Hivyo naomba uweke mpangilio nani aanza, afuate nani na amalizie nani
 


Kwanza habari zenyewe za kina Yesu ni za kwao wao wazungu

Halafu hata huyo anaye daiwa ndo mariam alikuwa mzungu, sasa kama alizaa kiumbe cheusi tena shda hiyo sasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…