Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,234
- 68,270
Mkuu huyo jamaa namkubali sana
Bruce alikuwa jembe
..........
Na wanamuziki kadha wa kadha wakiwemo kina Michael JacksonKwa faida ya makapuku:
Karibia wanamichezo wote mahiri hapa Ulimwenguni ni watu weusi.
Pele - Mchezaji bora wa soka wa wakati wote.
Mohammed Ali - Mcheza ngumi bora kabisa
Kuna wanariadha kama akina Jesse Owens ambaye alidharauliwa na Hitler kisa rangi yake lakini baadae Hitler alikuja kumkubali mwenyewe.
Akina Serena Williams kwenye Tennis.
Kwakweli nashukuru jinsi unavyoniongezea ujuzindio mkuu, halafu ndio ikasambaa duniani kote.
LolAaaah
Alikuwa bonge ya beki
Alaf alikuwa pande la mtu
Sir alex anasema kuna siku alienda kwa gary akauta mke wake kamtengea ki boks cha chocolate
Sasa yeye gary alivo muona Sir aka kimbilia chumbani
hahaa asnteNa wanamuziki kadha wa kadha wakiwemo kina Michael Jackson
Na kwa wale ambao hawafahamu wajue sasa kuwa hata Jesus, King Solomon na waisrael walikuwa mablack kabla ya wazungu kuhack ile historia na kuibadilisha kabisa ili kuifanya ulimwengu uamini kuwa walikuwa weupe
Kamwe huwezi kujuta kuwepo hapa KFKwakweli nashukuru jinsi unavyoniongezea ujuzi
Akiwa na totoz kali kalihahaha leo ni Uhuru wao...saa hizi sijui atakuwa mitaa ya Lubumbashi
Sawa kabisahahaha alicheza miaka ya 90.
Anajua sana TysonBondia wangu bora wa muda wote
I admire him
Maana hamna namna sasahahaha wampe udhamini bhana
Hongera sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaBREAKING NEWS
Batimaye thread ya Bitoz imewekwa STICKY Jukwaa la Utanashati
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Makofi Tafadhali
Makapuku tunazidi kuthaminiwa
................
Hapana mkuu sumbai atakuja yuko safarini nje ya nchi, niamini utamwona mda mfupi hapaHahaha
Kuna namna hapo ebu mbane jambilo
[QUOTE="Jimena, post: 16690386, member: 294.........Jesus, King Solomon na waisrael walikuwa mablack kabla ya wazungu kuhack ile historia na kuibadilisha kabisa ili kuifanya ulimwengu uamini kuwa walikuwa weupe
KaribuNa mie ni KAPUKU mniadd basi
BREAKING NEWS
Batimaye thread ya Bitoz imewekwa STICKY Jukwaa la Utanashati
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Makofi Tafadhali
Makapuku tunazidi kuthaminiwa
................
ShukranKaribu
Nenda page ya 1 soma post namba 1-3
Endelea kuchanja mbuga tu hakuna namna, hongera kwa hiloBREAKING NEWS
Batimaye thread ya Bitoz imewekwa STICKY Jukwaa la Utanashati
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Makofi Tafadhali
Makapuku tunazidi kuthaminiwa
................