Mi niliacha kabisa kushabikia timu ya Taifa ya Tanzania a.k.a kichwa cha mwenda wazimu, lakini nawasapoti serengeti boysMimi niliacha kabisa kushabikia mpira wa kibongo na huwa naona kawaida sana
Mbona hujamwambia kuwa mi na wewe damu damu???
Ombi plzMi niliacha kabisa kushabikia timu ya Taifa ya Tanzania a.k.a kichwa cha mwenda wazimu, lakini nawasapoti serengeti boys
Family nami nawashukuru wote kwa ushirikiano hadi kumdondosha mchawi, haikuwa kazi rahisi kama msingenipa ushirikiano.
Jimena kama hutojali naomba utupe update tena..mbarikiwe wote
Aaah wapiHayo maneno MBELE na NYUMA yatabadilishana nafathi![]()
![]()
![]()
![]()
Hongera mkuu, najua hapo hakukuti tenaFamily nami nawashukuru wote kwa ushirikiano hadi kumdondosha mchawi, haikuwa kazi rahisi kama msingenipa ushirikiano.
Jimena kama hutojali naomba utupe update tena..mbarikiwe wote
Nipo, nilikuwa naelekea EmiratesMbio za wapi mshika![]()
wewe???
Hongera sana kwa kumdondosha mchawi...Family nami nawashukuru wote kwa ushirikiano hadi kumdondosha mchawi, haikuwa kazi rahisi kama msingenipa ushirikiano.
Jimena kama hutojali naomba utupe update tena..mbarikiwe wote
Hongera sana kwa kumdondosha mchawi...
Yule jamaa ukishamuweka chini unapumua
Kwa sasa Top 5 imeshikiliwa na Makapuku watupu
Kuna Jimena
Bitoz
youngblood
Th Name
na jambilo
Viva Makapuku
Sasa naomba hadi kufikia mwisho wa mwezi 7 top 20 yote isome Makapuku.... So far waliobaki ambao sio familia hawazidi 5

DoneOmbi plz![]()
LolNipo, nilikuwa naelekea Emirates
Daaah acha tu kanitoa kijasho, aliharibu juzi alipoingia humu alikomba likes zaid ya 200 nami nilikuwa biz nkashindwa kufukuzana naye, nawashukuru wote, sio kwa wema wangu bali kwa upendo na kuchukuliana wakuu.Hongera mkuu, najua hapo hakukuti tena
Asubuhi nlikuona nkasema siyo mda mr Jr ana anguka
Kumbe une muangusha mapeema
Hongera sana kwa kumdondosha mchawi...
Yule jamaa ukishamuweka chini unapumua
Kwa sasa Top 5 imeshikiliwa na Makapuku watupu
Kuna Jimena
Bitoz
youngblood
Th Name
na jambilo
Viva Makapuku
Sasa naomba hadi kufikia mwisho wa mwezi 7 top 20 yote isome Makapuku.... So far waliobaki ambao sio familia hawazidi 5
