Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Daaah acha tu kanitoa kijasho, aliharibu juzi alipoingia humu alikomba likes zaid ya 200 nami nilikuwa biz nkashindwa kufukuzana naye, nawashukuru wote, sio kwa wema wangu bali kwa upendo na kuchukuliana wakuu.
Nliona bhana
Hivi na yeye ni wa huku ee!!?
