Hata shetani hapendi kukuona ukifurahi au mkishikamana, kwake ni tatizo.
Hivi hapa tunamuudhi nani?
Tunatumia pesa ya mtu?
Je twawashambulia wengine?
Mwadamu ni kiumbe hatari na wa ajabu sana
Kuna mwingine nae baada ya kuona Makapuku tunashine ameenda kudai kule members only eti lianzishwe jukwaa jipya ambalo litakuwa linaweka vichwa vya habari vya magazeti ya kila siku
Kuna mwingine nae baada ya kuona Makapuku tunashine ameenda kudai kule members only eti lianzishwe jukwaa jipya ambalo litakuwa linaweka vichwa vya habari vya magazeti ya kila siku