Mambo,habari za lubumbashiHi guys
Hii tamu hii
SAA 10 alfajiri
........
Ngoja nikumbuke....... Bitoz huyoMzima lakin!!?
Nan alikuwa ana kusumbua hapa nimshughulikie sasa hvi
Simu mpya jamaniMbona nimereport
Hajaona
..............
Hakikisha sasa usidhaniNashukuru
Sana mam, nadhani nimerejea for good
MimiMzima lakin!!?
Nan alikuwa ana kusumbua hapa nimshughulikie sasa hvi
Th Name na lizziebettie
HakikaHapo kuna ukakasi. Couple mbili tu zina uhakika humu
Niko poa mkuu, welcome back. I missed u bobHabar za jioni ndugu zangu makapuku
Mussolini5
Amazing&Manuu
Bitoz
Shululu
Sumbai
Jambilo
Linamo
Nyagei
Werrason
Emmyguy
Yong blood
Th name&Lizzie
Linamo
PNC1
na wengine
Niliwakumbuka and i hope mko poaa
Potezea tu
Nta waendea inbox wa confirm hapa
Viva German
Full time
.........
Kila kitu kipo waziHakika
Poa wifi,Mambo dear wifi!
Mambo,habari za lubumbashi
Aaah wapiMna bahati tu
Bonge la somoHabar za usiku wakuu, baada ya maombi ya wadau kuwa top ten ya watu wafupi zaid duniani, nimeona ni bora nisicheleweshe ombi hilo
NB, picha hazija kaa sawa kwa sababu za kimtandao nawataka radhi kwa hilo
Number 10, Stacey Herald - 28 inches
Huyu yeye alizaliwa Kentucky , huko USA, na ana tatizp linaitwa osteogenesis imperfecta, ameolewa na mwana mazoez mmoja mwenye fut 5 na nchi sita
Kuanzia mwaka 2005 hadi 2009 alijifungua watt wa kike watatu
Wa wili wali rithi ugonjwa wake
Huyu mmoja ni mzima ana amshinda kulea kwa sababu anakua haraka kumzidi yeye
Number 9, Hatice Kocaman - 28 inches
Alizaliwa huko uturuki, ana mattzo ya ukuaji wa mifupa yaan genetic bone conditions, yeye anasema akiwa mdogo ali hate ufupi ila kwa sasa kwa kuwa ufupi unampa umaarufu anahis angekuwa mfupi zaid ingekuwa poa zaidi
Hongera kwa kufika salamaHatimaye nimerejea joto city