Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Nimekupenda Shem umekomalia kitu chakoVile wajuaga wewe ndio kila kitu kwangu
Huyo binti weka pembeni tuendelee na maisha yetu bby
Love you Sana'a
![]()
![]()
![]()
Nimekupenda Shem umekomalia kitu chakoVile wajuaga wewe ndio kila kitu kwangu
Huyo binti weka pembeni tuendelee na maisha yetu bby
Love you Sana'a
![]()
![]()
![]()
Patience123 anitoshaNaona umekaa kusubiria fursa tuu.... Hahahhaaha
Niko na patience123Hahhahahaah wacha mtumish aje, wapi shemeji yangu Patience123 leo mkuu..?.
Kwa heshima na taathima mtoe ndani kidogo apunguie wageni mkono kama kweli yupo ndani ya himaya ya Pastor..Niko na patience123
Huamini??Ni kweli kwamba amefanikiwa kumrudisha Patience123 kwenye himaya yake? Nisikie kutoka kwako...
Nakumbuka mistari uliyoitumia kwa Christabela..hahahah inafanana sana na hiiiHuamini??View attachment 358598
Jioni tukapate chakula pale njerez ili uaminiMtumish ni kweli sasa umerudiana na Patience123 wap yeye aje athibitishe kuwa toka sasa yeye na sumbai bye bye na yuko na pastor..
Sumbai anamsumbuaKwa heshima na taathima mtoe ndani kidogo apunguie wageni mkono kama kweli yupo ndani ya himaya ya Pastor..
Hahaha cristabella anatafuta wakumkoj..zaNakumbuka mistari uliyoitumia kwa Christabela..hahahah inafanana sana na hiii
Hahhahaahahahah Pastor hapa ndipo unaonzaga kukengeuka....Na anasema yeye ndo atakuwa Baba na Mama wa mtoto..Hahhaahah funny indeed...Hahaha cristabella anatafuta wakumkoj..za
Shem mimi nakupendaga ulivyo na akili, pambana kwa ajili ya mautam na mpenzi wako, ndio maana nimeamua multidisciplinaire kipenzi changu patience123, Hakika nilipoteza sana, mtoto ni nzuri, anamapenzi ya dhati oooh acha kabisaLet love lead![]()
![]()
Mkuu, aende kwa wanaume mazezeta yanayopenda kulelewa, mimi nalea, natunza familia na sio mke anitunzeHahhahaahahahah Pastor hapa ndipo unaonzaga kukengeuka....Na anasema yeye ndo atakuwa Baba na Mama wa mtoto..Hahhaahah funny indeed...
CcLove u so much my my...Sina na sintokuwa na yeyote ili hali wewe upo..Mtoto mzuri, Umeumbika vizuri, Mungu kakujalia na akili iliyoambatana na busara...Kwako sintosikia wala sintoona ...Nashukuru kwa kunielewa Mamy..

Hakika ile nayo inaweza tumiwa kama fursa kabisa...Huku akiimba taratiiibu..hahahaaMkuu, aende kwa wanaume mazezeta yanayopenda kulelewa, mimi nalea, natunza familia na sio mke anitunze
Weekend manyaraaaaShem mimi nakupendaga ulivyo na akili, pambana kwa ajili ya mautam na mpenzi wako, ndio maana nimeamua multidisciplinaire kipenzi changu patience123, Hakika nilipoteza sana, mtoto ni nzuri, anamapenzi ya dhati oooh acha kabisa
Au aimbe..nakula kwa machooooHakika ile nayo inaweza tumiwa kama fursa kabisa...Huku akiimba taratiiibu..hahahaa

Nipo nae hapa tukikuombea ndoa ikae sawaHahhahahaah wacha mtumish aje, wapi shemeji yangu Patience123 leo mkuu..?.