eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Naona leo england roy hodson kasikiliza ushauri wa alan shearer
Vady na sturridge wameanza kikosi cha kwanza
Vady na sturridge wameanza kikosi cha kwanza
Tembezaa mkuuNgoja nitembeze kwanza likes zakutosha ndo nirudi kucomment hapaa
Ngoja nitembeze kwanza likes zakutosha ndo nirudi kucomment hapaa
Salama kabisa,njema za kupotea kidogo
Ilikuwa mtu huwezi kukosa kucheki sokaWe acha tu, huku Michael Salgado huku Roberto Carlos. Kule Makelele, pembeni Figo, Zidane , Ronaldo, Ivan Helguera, Santiago Solari, Cambiasso nk
Thats good of youNgoja nitembeze kwanza likes zakutosha ndo nirudi kucomment hapaa
Asienacho atanyang'anywa mpaka alichonacho nachomwenye nacho huongezewa...
Dadangu mambo!Asienacho atanyang'anywa mpaka alichonacho nacho
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakika nna demu mzuri sanaa
Cuzzo, mzima wewe?Lol eti huruma kwa lipi labda?? Hebu pita hivi. Umerudi kwani ulikuwa wapi...
Freshi tu habari yako mkuu.Niajez
Basi mwambie atupatie sukari.. maana waTz hatuna sukari ya kutosha![]()
Mimi natoka na. MAMA SUKARI (Sugar mummy)
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Safi kabisaFreshi tu habari yako mkuu.
Thubutu. .. ...Basi mwambie atupatie sukari.. maana waTz hatuna sukari ya kutosha