Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Lako hilo X baby
Lako hilo X baby
Hatari sanaNalikumbuka, alipata krosi maridadi toka kwa Robert Carlos upande wa kushoto na yeye bila ajizi akaunganisha juu kwa juu na kupiga goli la ushindi lililowapa ubingwa wa Uefa 2002!!
hahaha...Redondo fundi wa mpira sisahau alivyompiga tobo ya kisigino yule beki Hening Berg kisha akaenda kutoa bonge la assist kwa Raul.Hatari sana
Vp unakumbuka hat trick ya Ronaldo De Lima na chenga kali ya Redondo Old Tfafford?
Japo mm Man Utd lkn nikajikuta natabasamu tu
.........
Ngedere![]()
Mtag mwenye miguu yake km unamjua
.........
Roberto CarlosNalikumbuka, alipata krosi maridadi toka kwa Robert Carlos upande wa kushoto na yeye bila ajizi akaunganisha juu kwa juu na kupiga goli la ushindi lililowapa ubingwa wa Uefa 2002!!
We acha tu, huku Michael Salgado huku Roberto Carlos. Kule Makelele, pembeni Figo, Zidane , Ronaldo, Ivan Helguera, Santiago Solari, Cambiasso nkRoberto Carlos
Real Madrid ilikuwa tamu sana
njema za kupotea kidogoHabari zenu waungwana.......
Kweli ww mtu wa sokahahaha...Redondo fundi wa mpira sisahau alivyompiga tobo ya kisigino yule beki Hening Berg kisha akaenda kutoa bonge la assist kwa Raul.
Ronaldo Luis De Lima " El Phenomenon " wakati anafanyiwa sub ilibidi uwanja mzima umpigie makofi na mashabiki wote bila kujali mapenzi yao kwa timu zao ilibidi tu wasimame kumpa heshima yake. Nyakati zile hazijirudii tena.
UngabureNgedere
Hujambo linamo my xx!!Lol eti huruma kwa lipi labda?? Hebu pita hivi. Umerudi kwani ulikuwa wapi...
Poa dadakeHabari zenu waungwana.......