Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Acha uvivu dadakeeMi nilichelewa kuamka leo,we sababu yako ni ipi?
Acha uvivu dadakeeMi nilichelewa kuamka leo,we sababu yako ni ipi?
Kweli kabisa nimekuamsha ukasema baridi Kali. Lakini matokeo ndo Kama hivyo mtu kapigwa wiki![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

NiambieMkuu
Mzee wa makidamakida![]()
![]()
![]()
Aisee.
Week!!!,hiyo imekuwa rede sasa....
Sawa kakake...Acha uvivu dadakee
NakumisSawa kakake...
Aibu hii![]()
Kibaka mzoefu
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Habari mkuuNi Valentina tu ndo hajaenda kanisani leo!
IlikuwajeSalama mzima wewe?? Nilikuamsha ukakataa kuamka. Mexico kapigwa week.

Post zangu ni kama za Gwajima nikitamka lazma wanitafute ila ww zako kama za Yule mbunge wa Huku mkoani kwetu wa sanamu la diamond![]()

Inabidi makapuku mchange Tch 5 kila mmoja ili tumnunulie bukta ya Rooney imsaidie kumsitiri na kuficha vitu kiurahisi
Hahaha mimi sichangi hiyoInabidi makapuku mchange Tch 5 kila mmoja ili tumnunulie bukta ya Rooney imsaidie kumsitiri na kuficha vitu kiurahisi
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Karibu sana usisahau ku likeAsante mkuu!
Dadake nakupendaWivu tu unawasumbua
Daaah acha tu mkuuChupi lake limetoboka....kweli maisha magumu
![]()
![]()
![]()
![]()
.........