Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Sijajua mod anayenipaga ban anawashwaga ninina kitufe cha ban
Na ww unawashwa ukorofi
..........
Sijajua mod anayenipaga ban anawashwaga ninina kitufe cha ban
Mkuu ni kawaida ya wakoloni weusi
Post zangu ni kama za Gwajima nikitamka lazma wanitafute ila ww zako kama za Yule mbunge wa Huku mkoani kwetu wa sanamu la diamond![]()
Mimi nina post 8000 na sijawahi kula Ban .....ww una matatizo
........

Mimi natukana kijanja na pia siwapiwapi watu vichwa kwa kuzozana nao huwa naignore kijanja japo wananitukana matusi bila 7buPost zangu ni kama za Gwajima nikitamka lazma wanitafute ila ww zako kama za Yule mbunge wa Huku mkoani kwetu wa sanamu la diamond![]()
Mimi ctukanagi kabisaMimi natukana kijanja na pia siwapiwapi watu vichwa kwa kuzozana nao huwa naignore kijanja japo wananitukana matusi bila 7bu
..........

Mtu akiniita MBUMBUMBU mimi namjibu SAWA GENIUS MFOJI VYETIMimi ctukanagi kabisa![]()
Hebu nielekeze kutukana kijanja![]()
HUYO JAMAA HANA MFANO WAKEMkuu niko naangalia hapa messi anafanya yake.
He is overrated!!Mkuu bora umeliona hilo. Hana sifa anazojazwa
Wanakera Sana..mtu unaweza ukala ban kisa sababu za kijinga!Mkuu ni kawaida ya wakoloni weusi
Morning mutu ya kongo

Salama mzima wewe?? Nilikuamsha ukakataa kuamka. Mexico kapigwa week.Habari ya jumapili makamanda![]()
KabisaHe is overrated!!
Umezingua hujaniamsha.Salama mzima wewe?? Nilikuamsha ukakataa kuamka. Mexico kapigwa week.
Kweli kabisa nimekuamsha ukasema baridi Kali. Lakini matokeo ndo Kama hivyo mtu kapigwa wikiUmezingua hujaniamsha.
