Makapuku Forum

Number 8, Bernard Coyne (8 ft 2 in or 2.49 m).


Huyu alifanikiwa kwenda kupigana vita ya kwanza ya dunia, na inasadikika kabla haja fariki pengine aliongezeka urefu kwa mita 2 zaid

Number 7, Sultan Kösen (8 ft 3 in or 2.51 m).



Huyu ndiye vitanu vya guness vina mtambua kama mtu mrefu kuliko wote walio hai tangu mwaka 2009
 
Number 6, Edouard Beaupré (8 ft 3 in or 2.51 m).


Huyu alizaliwa mwaka 1881 na alifarikia 1904 pia alikuwa ni mwana mieleka

Number 5, Väinö Myllyrinne (8 ft 3 in or 2.51 m).


Miaka ya 1940 huyu ndiye alo kuwa mrefu kuliko wote duniani
Ila inasemekana alikufa akiwa na miaka 30na kadhaa tuu
 
Number 4, Leonid Stadnyk (8 ft 5.5 in or 2.57 m).

Huyu ndiyo mrefu kuliko wote duniani japo hatambuliwi na kitabu cha rekodi cha guinness, kwani waligombana na aka kataa wasimpime kabsaa, (nadhani mambo ya pesa pengine)


Number 3. John F. Carroll (8 ft 7 ¾ in or 2.64 m).


Huyu alizaliwa Buffalo huko New York mwaka 1932 na yeye aligoma kutambuliwa kwenye kitabu cha rekodi japo yeye inasemekana alipo fariki mwaka 1968 urefu wake ulikuwa umepungua ( pengine wafupi wali muambukiza ufupi)
 
Number 2, John Rogan (8 ft 8 in or 2.67 m).

Alizaliwa kwenye familia ya kitumwa huko Tennesse mwaka 1865 au 1868, na huyu ina sadikika kuwa urefu ndo ulio muua kwan alikuwa ana complications nyingi sana


Number 1 Robert Wadlow (8 ft and 11.1 in /2.72 m).


Alizaliwa mwaka 1918 huko US na alikufa miaka 22 baadaye alifika fut 8 akiwa ana teeneger na kwa urefu wake tuu alikuwa maarufu kiasi hapo mwaka 1940 alipo fariki walihudhuria watu zaid ya 40,000 kumzika (na mie nlikuwepo na tulisikitika sana siku hiyo)
 
Thanx
Kesho uje na TOP 10 yaANDUNJE

..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…