Kama mimi mkuuKuna hatari mtu kupata likes za kuvunja rekodi kupitia hili Lisredi kudadadadadek![]()
Hivi umeniitia eeeh??
Like hazipotei mkuu nilishawahi badiliUtapoteza likes zako na friends ukibadili ID
Mkuu potezea kule kwa jirani kwenye fixKuna hatari mtu kupata likes za kuvunja rekodi kupitia hili Lisredi kudadadadadek![]()
Alikuwa anatafuta mlinzi wa likes.Hivi umeniitia eeeh??
Jina lake kibaja akaamua kulibuni kidogoKilicho mfanya ajiite bajaji ni nini?
Hahahahahaha nitajiita bishooJiite Jogoo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.........................
Hahahahaa ndio ukajita kiba???Like hazipotei mkuu nilishawahi badili
Karibu tenaaaUmenikumbusha mbali..
Kuna baba mmoja anaitwa kidumee pesaa
Unafanyaje kubadili??? Labda nikiharibu huku nami nibadiliLike hazipotei mkuu nilishawahi badili

Kabla sijarudiii kijijini huku mchamba wima nilikuwa namiliki bajaji ikaja kufa kwa ukumbusho nikajiita kibajaji karibu tulime matikitiKilicho mfanya ajiite bajaji ni nini?
Tumeshavunja rekodi mbona... .. Kwasasa Makapuku wana likes nyingi kuliko idadi ya postsKuna hatari mtu kupata likes za kuvunja rekodi kupitia hili Lisredi kudadadadadek![]()
Unafanyaje kubadili??? Labda nikiharibu huku nami nibadili![]()
ukiharibu tu nazifyonzaKwanini unabadili sana IDsLike hazipotei mkuu nilishawahi badili
Hahahaha na mimi nijiite kidume kapukuu au ?Umenikumbusha mbali..
Kuna baba mmoja anaitwa kidumee pesaa