Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 5: The Plaza, New York City

0db2698a13b011233a945531181aefc6.jpg


Imejengwa mwaka 1907 ni moja wapo ya sehem za kihistoria za USA

Number 4; Burj Al Arab Hotel, Dubai

51657bf25fd6239a1a8c6973dadfbe44.jpg


Hii haihitaji utambulisho moja ya vivution vikubwa kwa wenzangu na mimi walo fika dubai

Number 3: The Westin Excelsior, Rome

79a3ccf8428e9a163651ae6aa486b73c.jpg


Imejengwa mwaka 1906 huko Italia, matengenezo yake tuu huchukua zaid ya euro milioni saba
 
Number 2: Mardan Palace Hotel, Uturuki

a05d420af8d1d79b33f3e05a9e6b62ff.jpg


Hii iko Antalya ,(ambako timu ya yanga ipo now) hii ndo inasadidkika kuwa na bwawa kubwa kuliko hoteli nyingne zozote huko Ulaya, gharama yake ni Euro 1.6 billioni na ilijengwa 2006


Number 1: Emirates Palace, Abu Dhabi

8a950aac1761037f967659af5b8dc860.jpg


Hii gharama yake ni zaidi ya USD 3 billion, ina conference room zaod ya 40,na material ya kuijengea tuu yalitoka katika nchi zaid ya 40 (pengine na Tanzania ikiwemo)

Ina uwezo wa kuchukua zaid ya watu 1,000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom