Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku moja binti mmoja aliamua kumwuliza babu
yake maswali ambayo yalikuwa yanamwumiza
sana kichwa.

Jambo hili lilikuwa linamkosesha
raha sana siku zote!

Mjukuu: Babu, mimi kuna jambo ambalo
linanisumbua sana kichwani!

Babu: Lipi hilo mjukuu wangu?

Mjukuu: Hivi
kwa nini
mwanaume
akiwa na wanawake wengi anasifiwa na
kuonekana shujaa sana kwenye jamii lakini
mwanamke akiwa na wanaume wengi
anaonekana hafai na malaya?

Babu: Mjukuu wangu kuna jambo moja hulijui,
funguo moja ikifungua makufuri mengi watu
wataipenda sana hiyo funguo na wataiita ‘master
key’ lakini kufuli likifunguliwa na kila ufunguo
hakuna atakayelitaka kufuli la hivyo!
 
Siku moja binti mmoja aliamua kumwuliza babu
yake maswali ambayo yalikuwa yanamwumiza
sana kichwa.

Jambo hili lilikuwa linamkosesha
raha sana siku zote!

Mjukuu: Babu, mimi kuna jambo ambalo
linanisumbua sana kichwani!

Babu: Lipi hilo mjukuu wangu?

Mjukuu: Hivi
kwa nini
mwanaume
akiwa na wanawake wengi anasifiwa na
kuonekana shujaa sana kwenye jamii lakini
mwanamke akiwa na wanaume wengi
anaonekana hafai na malaya?

Babu: Mjukuu wangu kuna jambo moja hulijui,
funguo moja ikifungua makufuri mengi watu
wataipenda sana hiyo funguo na wataiita ‘master
key’ lakini kufuli likifunguliwa na kila ufunguo
hakuna atakayelitaka kufuli la hivyo!
Babu katumia saikolojia ya juu kabisa kujibu, mi ningejikuta naenda kwenye baiolojia moja kwa moja
 
Siku moja binti mmoja aliamua kumwuliza babu
yake maswali ambayo yalikuwa yanamwumiza
sana kichwa.

Jambo hili lilikuwa linamkosesha
raha sana siku zote!

Mjukuu: Babu, mimi kuna jambo ambalo
linanisumbua sana kichwani!

Babu: Lipi hilo mjukuu wangu?

Mjukuu: Hivi
kwa nini
mwanaume
akiwa na wanawake wengi anasifiwa na
kuonekana shujaa sana kwenye jamii lakini
mwanamke akiwa na wanaume wengi
anaonekana hafai na malaya?

Babu: Mjukuu wangu kuna jambo moja hulijui,
funguo moja ikifungua makufuri mengi watu
wataipenda sana hiyo funguo na wataiita ‘master
key’ lakini kufuli likifunguliwa na kila ufunguo
hakuna atakayelitaka kufuli la hivyo!
Babu katika ubora wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom