Makapuku Forum

Mi Shambalai nilipandaga mara 1 tu kisha nikasusa 7bu likifika Mombo Wasambaa wanajazana km ng'ombe halafu wanatoa mate km mvua

.......
Si ndio wanapewa na vigoda wanakaaaaa kwenye gali....alafu shambalai vumbi saana paka ukifika mlalo

Nlipanda miaka Hiyo msambaa mmoja kaka pemben yangu kila Basi likisimama Mara kanunua indi LA kuchemsha, Mara mayai...Mara kanunua ndizi tulipofika soni alitapika saana dah
 
Weupe ila mikia sio kivileeee
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…