Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu umenikimbia kule.....kiukweli sticky nyingi hazina ubora na zipo kiupendeleo kwa wakongwe (SIZUNGUMZII KAPUKU FORUM KUWA STICKY)

............
Sijakimbia ila nadhani hukuwepo enzi hizo wakati watu wanalalamika kwamba Uzi zimekuwa nyingi

Then nakumbuka mods mpendwa alikuwa ASHA D wakafanya utaratibu ndio wakabuni Uzi kuwa stick.

Sikumbuki vigezo sahihi na stick nying ni nyuz za zamani

Ila ziliikuwa most loved threads, zilizokuwa haziish hamu
 
Sijakimbia ila nadhani hukuwepo enzi hizo wakati watu wanalalamika kwamba Uzi zimekuwa nyingi

Then nakumbuka mods mpendwa alikuwa ASHA D wakafanya utaratibu ndio wakabuni Uzi kuwa stick.

Sikumbuki vigezo sahihi na stick nying ni nyuz za zamani

Ila ziliikuwa most loved threads, zilizokuwa haziish hamu
Huyo namjua tena kajiweka yy sticky

.........
 
Ushindi wa jana wa Ujerumani umenifanya nichelewe kuamka!! Kitwanga sio kitu kizuri sana...Morning wakuu
7b74b33ab348a74fa03666c5588ad65b.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom