Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,050
Tanga balaa sana,mpaka vifuu vinaongea.Youngblood kwenu mnatisha
Tanga balaa sana,mpaka vifuu vinaongea.Youngblood kwenu mnatisha
Binadamu wabaya sana.Nilikuambia![]()
![]()
![]()
Uko maeneo gani mkuu.Mkuu kwani wewe umeshafika Tanga mwezi kama huu?
Magaidi hamna mkuu.Wametisha sana, ila wakienda wengi kushangaa nyakati za jioni, magaidi nao wanafanya yao
Tunalishwa matango pori kumbe,kuhusu amboniMagaidi hamna mkuu.
Kunguru hafugikiC uliwekwa ndani na muuza nyanya ww.....mbona umetoroka mapema
........
Mzima sana sijui wewe?Mzima??
Vibaya vibayaWamevurugwa
Mtakatifu shululuMimi sina![]()
![]()
![]()
![]()
Ndo maana nakuambia wewe kuwa mlokole labda mpaka utakapo zeekaLimegomea maombi yangu mkuu![]()
![]()
![]()

Huko siji bwanaTanga balaa sana,mpaka vifuu vinaongea.
Msubiri Jambilo aje alikemee hilo vampireBinadamu wabaya sana.
Duh!

Wa kuokokaAisee.
Wito upi tena mkuu.
Hilo nalo ni tatizoWametisha sana, ila wakienda wengi kushangaa nyakati za jioni, magaidi nao wanafanya yao
Mi niko Uhuru hostelUko maeneo gani mkuu.
Mimi niko hapa Uhuru park.
