Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Uongo upi tena Mkuu.Ujue upunguze uongo
Sawa nitakuambiaHalafu ile hadithi ikiendelea kule mahali uniambie
Duniani wawili wawili![]()
Balozi wa Twiga
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Form 2
Nilipita jana mkuu,pale ndiyo maeneo yangu yakuokota viwalo.Umeishaenda kutalii kwenye picha ya nyerere
Wito hunaKwani mimi siwezi kuwa mlokole Mkuu.
Youngblood kwenu mnatisha![]()
![]()
![]()
![]()
........
Mkuu kwani wewe umeshafika Tanga mwezi kama huu?Huo unaosema hapo![]()
![]()
Hata sasa niko TangaMkuu kwani wewe umeshafika Tanga mwezi kama huu?
Aisee.Wito huna
Wametisha sana, ila wakienda wengi kushangaa nyakati za jioni, magaidi nao wanafanya yaoYoungblood kwenu mnatisha