PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
![]()
![]()
![]()
![]()
hata man u kama stars 7bu England inaundwa na man u
Kwani ile Man Utd?![]()
![]()
![]()
unamsaliti Rooney
Aya upumzike sasaIbrahim for rais![]()
![]()
![]()
Saiv c saa sita ibada baadayeUsiku huu![]()
![]()
Yap ina vimelea vya man uKwani ile Man Utd?
........
Ila we ni CCM kweliHahaha ndo hayo nayo sema
Mi nlitoa maoni kwa maana nzuri tuu
Ye akaanza kusema mi ccm
Akapga kashfa zake pale
Oook shukraniSaiv c saa sita ibada baadaye
Hahahaha![]()
![]()
pia ni wachezaji
Mi pia jukwaa lile sijawahi kupata misuko suko sababu sijawahi kuwa upande wa fisiem![]()
![]()
uzuri ni kuwa sihawai wasifia ccm
Hahahaha
Eb upunguze kuzdisha sasa
Kesho spain
Akishinda nahama nchi
uhamie burundiMi ningelala juu ya kabati.......kuiamini England ni sawa na kuamini Minazi inaweza kustawi kwenye barabara za mwendokasiEngland wangeshinda ninge gawa vocha kama le baharia, le akili nene
Ni kweli kabisa ukitaka misukosuko uwe ccmMi pia jukwaa lile sijawahi kupata misuko suko sababu sijawahi kuwa upande wa fisiem
Aah wapiUmerudi kwa hisani ya England
Sina chama afterall sioni cha kuishabikia ccmIla we ni CCM kweli