lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Nipo my wii! Salama kabisa, sijui wwUpo? Habari ya wewe?
Nipo my wii! Salama kabisa, sijui wwUpo? Habari ya wewe?
Wekeni namba mpesa tumlipiee....Yaani tuchangie kwa lipi la maana? Walau angekuwa mgonjwa au kapata ajali. Maisha yenyewe yako wapi!
Ni kweli YoungbloodKaribu sana brother.
Hii kitu tamu sana...
Nipo, mihangaiko inaweka bize, uzi unakimbia si kitoto!!!Kwema za kupotea?
Ooh mi nawapa wale wanaonipa tuSisemei kwangu tu nasema na kwa wengine, angalia kuanzia post #48911 mpaka hapa umelike posts ngapi.
Sawa lakini sometimes inabidi tuwe fair ukitaka mtu alike kwako wewe pia utoe like,we unasema kuna watu hawalike kwake that's why halike lakini ukiangalia hao watu ambao hajalike post zao wamelike posts zake!....Kuna KAPUKU hawatoi kabisa likes acha kumzingua Jimena Braza km hawa like post zake yy alike iweje
Kauzu zaidi ya dagaa
But kwako sioni tatizo
Be peace
............
Sangara Wa tanga ni pwezaUsijali brother.
Leo napiga ugali wa muhogo na sangara.
Labda alikuwa hajausoma mchezoKuna KAPUKU hawatoi kabisa likes acha kumzingua Jimena Braza km hawalike post zake yy alike ili iweje![]()
Fanya hivyo nawe kwa wanaojiona viburi
Kauzu zaidi ya dagaa
But kwako sioni tatizo
Be peace
............
Shem mambo
.........................Ooh mi nawapa wale wanaonipa tu
Nilishaacha kitambo sana kupigia kelele watu walike post za wenzao badala yake siku hizi nampa yule anaenipa
Akiwa mgeni nampa lakini namwambia nikiona hasomeki nampotezea vile vile
Shida nini mkuu.Avatar![]()
Powaa shem, mzima ww?Shem mambo
Anampa LIKE kila mtu wkt hawampi ht 1Labda alikuwa hajausoma mchezo
Mimi silagi pweza mkuu.Sangara Wa tanga ni pweza
Mie mzma dadake, nafuatilia mpambano na shobo, vijembe za baadhi ya ndg zangu humuPowaa shem, mzima ww?