Mwenyewe anataka converse zake![]()
Naelekea town kutafuta mawe na simple za kuazima
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Usikariri hizo ni chatta inayoitwa "FASHION" converse kila mtu anazo bhanaMwenyewe anataka converse zake
Si umesema mwenyewe kuwa umeazima? Karudishe tu maana hamna namna sasaUsikariri hizo ni chatta inayoitwa "FASHION" converse kila mtu anazo bhana
![]()
![]()
![]()
........
Nililala salama, na sasa niko hapa kulisongeshaMorning Jimena!
Naona umeisha amka!
Umelala salama?
Nililala salama, na sasa niko hapa kulisongesha
Shukrani sanaAisee, kazi yako na magazeti imenifurahisha sana!
Kuna magazeti kuyapata mtandaoni ni changamoto!
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Kula tano zangu za nguvu!!!
Nitarudisha zikiwa safiSi umesema mwenyewe kuwa umeazima? Karudishe tu maana hamna namna sasa
![]()
Nimegeuza tumbo limenikaba
Halafu mjini hakuna mapori
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Mna shs ngapi?
Malipo tenaMna shs ngapi?

Sasa ndo muende kwa Ras Simba kama atawanyia kazi ya bureMalipo tena![]()
Kwanini mkuuHiyo shikamoo nna wasi wasi nayo
Morn too the boss mwenyeweMorning family