Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Shem mamboWii uko poa
Shem mamboWii uko poa
Mkuu upo?Polee
Sitakuacha mwenyewe tena
Bibie hujambo?Asante
Tatizo usingizi wako ni wa mwendo kasi
Ni poa myShem mambo
Asante mpendwaHehehehe tangulia kwa amani
goodAfternoon Jime!!Sijambo,
Habari ya leo?
mkuu sumbai hawa watu cute b na atoto sijawatia machoni kwa muda mrefu sasa.
Tatizo ni wwHii thread naona imeanza pungua kukimbia kwa kasi Sijajua tatzo ni nini
Khaaa mliobaki siku ingine niki ingiaTatizo ni ww
Umengia kwa fujo za mwendokasi
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Tatizo ni ww
Umengia kwa fujo za mwendokasi
![]()
![]()
![]()
![]()
......
basi sawa Chura Fc

Week end tunakuwa bize na starehe na wapenzi wetuKhaaa mliobaki siku ingine niki ingia
Vijana wa jangwani Yani mkuu unamajanga huku vyura huku Mwanitesa United kule England![]()
Hili ndo chama langu...pole sana
....
.

Unaruhusiwa kwa kigezo cha likeHivi niulize!! mimi kama sio kapuku (sijatajwa kwenye uzi) naruhusiwa kuchangia huu uzi maana unanipa raha kweli!!!
Kasome post # 3Hivi niulize!! mimi kama sio kapuku (sijatajwa kwenye uzi) naruhusiwa kuchangia huu uzi maana unanipa raha kweli!!!
Asante sanaHii imefunika mwendo kasi zoteeeee