Makapuku Forum

Sijasema hastahili

Ila kama hajaitwa atulie kimya, asubir zamu yake, kelele za nini

Watu mko mamilion wanitwa 23 ukiachwa una kausha tuu
Mkuu mbona huelewi[emoji780]
Ht wangeitwa 17 bado anastahili kuwepo kumbuka MPIRA HAUCHEZWI CHUMBANI.....labda use me tu haelewani na kocha ndo nitakuelewa
RIGHT ?
..........
 
Mkuu mbona huelewi[emoji780]
Ht wangeitwa 17 bado anastahili kuwepo kumbuka MPIRA HAUCHEZWI CHUMBANI.....labda use me tu haelewani na kocha ndo nitakuelewa
RIGHT ?
..........
Nakuelewa ila wewe hunielewi mimi

Kuna kuachwa na kulalamika ukiachwa

Nampinga anavo mind, hakuna sheria inayo mlazimisha kocha aite mtu

Aache kubwata, ndo nikasema kina ben arfa wameachwa na wame cool tuu

My point is aache kelele akale bata si lazma aitwe yeye

Kocha ndo ana amua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…