Makapuku Forum

Mkuu mbona huelewi

Ht wangeitwa 17 bado anastahili kuwepo kumbuka MPIRA HAUCHEZWI CHUMBANI.....labda use me tu haelewani na kocha ndo nitakuelewa
RIGHT ?
..........
Nakuelewa ila wewe hunielewi mimi

Kuna kuachwa na kulalamika ukiachwa

Nampinga anavo mind, hakuna sheria inayo mlazimisha kocha aite mtu

Aache kubwata, ndo nikasema kina ben arfa wameachwa na wame cool tuu

My point is aache kelele akale bata si lazma aitwe yeye

Kocha ndo ana amua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…