Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ananusa hatareeeeAaaah![]()
Bro usisikie harufu ya soka!!!!
Nme kuaminia
Ananusa hatareeeeAaaah![]()
Bro usisikie harufu ya soka!!!!
Nme kuaminia
MamboKwa kweli kapotea sana, inabid atafutwe
Vipi una ttzo lolote na wanyalu!!?Basi sawaaa
Nite nite my wiiGood night all
Nimekuja my wiiAje wifi yake nimuone
Cc lizziebettie
K I B O K O K A B I S AHeheheheheheeee
Kimyaaaa
Poa nilikukumbuka tuNimekuja, mambo vip?
Asante wiiPoa nilikukumbuka tu
Sina hata kidogoVipi una ttzo lolote na wanyalu!!?
Ha haa.....naona vijana wanazidi kuisoma nambaRAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
Jumla ya Walimu wapya 40,000 ambao wamehitimu mwaka 2015 kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini walitakiwa kuajiriwa rasmi na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri) ifikapo tarehe 01 june 2016. Kati ya idadi hiyo walimu wa ngazi ya Cheti (Daraja III A) ambao hufundisha katika shule za Msingi ni 19,973 na walimu wa shule za sekondari ni 20,027 (wakiwemo 9,206 wa Stashahada na 10,821 wa shahada)
Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa inapenda kuwajulisha kuwa Mchakato huo umesimama kwa muda mpaka Mamlaka husika itakapokaa tena kufanya mchakato huo kwa umakini zaidi.Hivyo Mamlaka inawaomba wahusika kuwa na Uvumilivu na Subira mpaka pale mchakato utakapokamilika.
Imetolewa na :
Kitengo Cha Mawasiliano-TAMISEMI
Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
31/may/2016.
Watawaua vijana hawa serikali mweer!!!
AaaahSina hata kidogo
HahahahaaHa haa.....naona vijana wanazidi kuisoma namba
Hivi kuna kapuku ambaye ni mwalimu tarajali????
Mungu awabariki serekali iwakumbukeee
AaaahHabar za usiku
Karibu sana mpenzi wanguNimekuja babe
AnhaaaaNilidhani umesoma shule yenye jina kubwa
Nipo, napitaga kimya kimyaPoa
Mbona kimya sana!!?
Serikali hii ni jipu kubwaRAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
Jumla ya Walimu wapya 40,000 ambao wamehitimu mwaka 2015 kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini walitakiwa kuajiriwa rasmi na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri) ifikapo tarehe 01 june 2016. Kati ya idadi hiyo walimu wa ngazi ya Cheti (Daraja III A) ambao hufundisha katika shule za Msingi ni 19,973 na walimu wa shule za sekondari ni 20,027 (wakiwemo 9,206 wa Stashahada na 10,821 wa shahada)
Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa inapenda kuwajulisha kuwa Mchakato huo umesimama kwa muda mpaka Mamlaka husika itakapokaa tena kufanya mchakato huo kwa umakini zaidi.Hivyo Mamlaka inawaomba wahusika kuwa na Uvumilivu na Subira mpaka pale mchakato utakapokamilika.
Imetolewa na :
Kitengo Cha Mawasiliano-TAMISEMI
Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
31/may/2016.
Watawaua vijana hawa serikali mweer!!!