amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
Hamtaki ndugu zangu wa kule SitimbiManyoni hiyooooo
Kuolea dsm tuna muachia youngblood
Ila na hao wabichi wakijua mji inakuwa shidaaa
Yanakuja yale ya Prof Jay na binti wa sitimbii
Huyo Mugabe FakeIf your ugly your ugly. Stop talking about inner beauty because we don't walk around with X RAYS
By Robert Mugabe
Hapo ndo nna kuaminia
Ila nme ona jimena ana mkataa wa kigoma hapa

KabisaaaaaWifi katika ubora wa kulinda muke ya kaka ako
Owkey OwkeyMke wa kaka banaaa
Koho koho koho napita tu sijui kuna njia ya kutokea ubungo?? Manake mie mgeniHahahaha
Nimianza kdogo kdogo shem
nadhan masuala ya miamala ndo yatafuata
Yale hayawezi kuwa mapenziItabidi tuvumilie tu,
Mwenyewe ndio kapenda
Ila mmhhhhh, ngumu kumesaaa