Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,428
Hadi wewe..duh!Nilifurahi sanaaaaaaaaaaa muwakumbushe wote walioahidi kutembea uchi sababu ya timu yao ya mkopo wafanye hivyo
Hadi wewe..duh!Nilifurahi sanaaaaaaaaaaa muwakumbushe wote walioahidi kutembea uchi sababu ya timu yao ya mkopo wafanye hivyo
Umenisahau???Hadi wewe..duh!
HahahaaIko hiviii.....View attachment 351882View attachment 351883
PNC 1 si ndo akasepa hadi leo cja muonaUmenisahau???
1. Real Madrid
2. Man United
3. Young africans
4. Malmö fc
Sasa naachaje kufurahi kwa mfano???
Atakuwa ndio anatembea uchiPNC 1 si ndo akasepa hadi leo cja muona
Na ndugu yake fredericko, mpaka now ana tafutwa akatimize ahadi yakeAtakuwa ndio anatembea uchi
Hahahahahahaha wanalo leoNa ndugu yake fredericko, mpaka now ana tafutwa akatimize ahadi yake
Umeamka salama lakini!!?
Ndio maana yakeHahahaa
Hyo ndo habar ya town
TUMEAMKAJE=MMEAMKAJE...maana wewe ushaamka poa ndo maana ukaweza kutukumbuka hukuJamani tumeamkaje humu!!?
TUMEAMKAJE=MMEAMKAJE...maana wewe ushaamka poa ndo maana ukaweza kutukumbuka huku
NaendaTeh teh
Upo ule
hhahahha kidogo kidogo mkuu s unajua tena kiswahili chetu kilivyo kipana??![]()
![]()
![]()
![]()
Apo kweli nilikosea mkuu
Saa una nikumbusha Faiza Foxy