Wape hongera yao
Mi nilitaka Real apigwe
Tusilete maneno ya wakosaji
..........
Young Africans- VPL and FA cup winner
Manchester united- The FA cup winner
Real Madrid- UEFA champion league- winner
Burudani sana hizi timu
Goodmorning to you all
View attachment 351845View attachment 351846View attachment 351847
Halaaaaaaa Madrid[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wivu tuTimu yrnyewe jezi nyeupe km kanzu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
........
kwema mkuu....niliadimika kias aiseeMkuu.....
Lazima roho iumeWivu tu
![]()
Glory to God
........
Basi utaumwa sana mwaka huuLazima roho iume
Ht anayekumiliki ww namuonea wivu
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
......
AmeenNeno la leo
Deuteronomy 28: 13
13. Bwana atakufanya kuwa kichwa wala si mkia,
Nawe utakuwa juu tu wala huwi chini
Utakapo yasikiliza maagizo ya BWANA Mungu wako,nikuagizayo hivi Leo, kuyaangalia na kufanya .
Kumbe Baraka za Bwana Mungu zipo na alishatuahidi kuwa tukishika amri na kutenda NENO Lake linavyotaka tutabarikiwa.....
Basi mkishike amri na Neno la Mungu
Mbarikiwe
[emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471] [emoji471]View attachment 351845View attachment 351846View attachment 351847
Halaaaaaaa Madrid[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna kanzu nyeusi.Timu yrnyewe jezi nyeupe km kanzu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
........