Wape hongera yao
Mi nilitaka Real apigwe
Tusilete maneno ya wakosaji
..........
Young Africans- VPL and FA cup winner
Manchester united- The FA cup winner
Real Madrid- UEFA champion league- winner
Burudani sana hizi timu
Goodmorning to you all

Wivu tuTimu yrnyewe jezi nyeupe km kanzu
![]()
![]()
![]()
.......
........
kwema mkuu....niliadimika kias aiseeMkuu.....
![]()
Glory to God
........
Basi utaumwa sana mwaka huuLazima roho iume
Ht anayekumiliki ww namuonea wivu
![]()
![]()
![]()
......
AmeenNeno la leo
Deuteronomy 28: 13
13. Bwana atakufanya kuwa kichwa wala si mkia,
Nawe utakuwa juu tu wala huwi chini
Utakapo yasikiliza maagizo ya BWANA Mungu wako,nikuagizayo hivi Leo, kuyaangalia na kufanya .
Kumbe Baraka za Bwana Mungu zipo na alishatuahidi kuwa tukishika amri na kutenda NENO Lake linavyotaka tutabarikiwa.....
Basi mkishike amri na Neno la Mungu
Mbarikiwe
Kuna kanzu nyeusi.Timu yrnyewe jezi nyeupe km kanzu
![]()
![]()
![]()
.......
........