Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nipewe zawadi ya pensi na t.shirt
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.........
1464506686605.jpg

Hiyo labda [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Neno la leo
Deuteronomy 28: 13
13. Bwana atakufanya kuwa kichwa wala si mkia,
Nawe utakuwa juu tu wala huwi chini
Utakapo yasikiliza maagizo ya BWANA Mungu wako,nikuagizayo hivi Leo, kuyaangalia na kufanya .


Kumbe Baraka za Bwana Mungu zipo na alishatuahidi kuwa tukishika amri na kutenda NENO Lake linavyotaka tutabarikiwa.....

Basi mkishike amri na Neno la Mungu
Mbarikiwe
Cc
sumbai
 
Back
Top Bottom