Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Kuna kanzu nyeusi.
shukran kwa headlines mkuu
Sipati picha mmh
Sasa ndo kaumbwa hivyoKitu chochote kikizidi ni KERO
![]()
![]()
![]()
.......
Kama sukarikwema mkuu....niliadimika kias aisee
Kweli Mungu mjuziSasa ndo kaumbwa hivyo
hahhahah sukari imezid kwa kweli....ssa iv kuna sukar nyeupe kama chumviKama sukari
Mornie
CcNeno la leo
Deuteronomy 28: 13
13. Bwana atakufanya kuwa kichwa wala si mkia,
Nawe utakuwa juu tu wala huwi chini
Utakapo yasikiliza maagizo ya BWANA Mungu wako,nikuagizayo hivi Leo, kuyaangalia na kufanya .
Kumbe Baraka za Bwana Mungu zipo na alishatuahidi kuwa tukishika amri na kutenda NENO Lake linavyotaka tutabarikiwa.....
Basi mkishike amri na Neno la Mungu
Mbarikiwe
Sikujua kama ni ya mafukaraSitumii
Mimi sio fukara
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Morning
afternoonMorning
Lolafternoon