Makapuku Forum

Sio kwamba mnafanana hapana nilimaanisha muonekano wa yule binti aseeh unasikitisha na unaweza ukakuvutia pia kama mwanaume rijali ila ni masikitiko zaidi kama ni ndugu yako inamaana ninyi kwenye vikoba hua amuelimishani wanawake na stara
We unaweza kumuelimisha mtu mzima mwenzio? Zipo institutions zinazoelimisha watu kiujumla, kama ulimuonea huruma kwanini usingemsaidia?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…