Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Nimechelewa kupata wito wako Mjukuu, si unajua Babu yako nikikosa kuvuta Kiko yangu huwa nawahi kulala![]()


Nilijua tu babu utakuwa ulilala
Nimechelewa kupata wito wako Mjukuu, si unajua Babu yako nikikosa kuvuta Kiko yangu huwa nawahi kulala![]()


Nilijua tu babu utakuwa ulilala
Muwe na siku njema
Tuanze na hilo la namba ya Simu ya Upepo, nataka nianze kumtambia jirani yangu Mzee Patel, kwamba Kliniki ijayo ya macho utanipeleka wewe Mjukuu![]()




Kwa kweli, hata hivyo nimeambiwa umeniagizia Kiko dozen 2 ndiyo nipo kuzisubiri tangu asubuhi 😜Nilijua tu babu utakuwa ulilala
Kwa kweli, hata hivyo nimeambiwa umeniagizia Kiko dozen 2 ndiyo nipo kuzisubiri tangu asubuhi![]()
Bado hazijafika, hata hivyo nina yule Kijana wangu anayefanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu hapo Mjini. Fika umpe nitazipata 😜Bado hazijafika tu babu
Bado hazijafika, hata hivyo nina yule Kijana wangu anayefanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu hapo Mjini. Fika umpe nitazipata![]()



Ila babu 
Nimefanyaje Mjukuu lakini 😜🏃🏃🏃Ila babu
![]()