Ushamba upo popote duniani, nakubaliana nawe kuwa hapa u mshamba kwani hujui ki achoendelea, nami naweza kuwa mshamba uliko ujanja wako majukwaa mengine.
Humu watu wanaheshimiana, shirikiana na kupendana but usisahau ku like
Yaani hakuna MEMBER MKUBWA kuliko wengine sisi wote ni MAKAPUKU na hatumshobokei mtu au kumfagilia(ukiona mtu anajifanya staa mpotezee)
Kwa ufupi nadhani umeelewa
.........
Nawasalimia ndugu zangu wote mliopo hapa, Na wale wote wanaojiandaa kwenda kwenye usaili sehemu mbalimbali wasisite kuangalia bandiko hapo juu kuona ni nini kinatakiwa pindi unapojiandaa kwenda kwenye interview Tanzania na Africa kwa ujumla.