Karibu hukuHodi huku..
Karibu MaradonnaHodi huku..
Maradonna karibuHodi huku..
Station kuu KGMStand hapo au???
Nashukuru sana boss.Karibu huku
Nashukuru Werrason nimekaribia.Karibu Maradonna
Asante sana Jambilo kwa ukarimu wa kukaribisha wageni, natumia dk chache kutembeza macho huku na huku kuondoa ushamba hapa.Maradonna karibu
Nashukuru sana Bitoz na maramoja nitarudi post ya 3 nikapate maelezo nikiamini yatanipa mwanga wa pakuanzia.Maelekezo yapo post # 3
Karibu
..........
Nakuona mkuuAsante sana Jambilo kwa ukarimu wa kukaribisha wageni, natumia dk chache kutembeza macho huku na huku kuondoa ushamba hapa.
Hapa hakuna superstar,shobo,wala ufagioNashukuru sana Bitoz na maramoja nitarudi post ya 3 nikapate maelezo nikiamini yatanipa mwanga wa pakuanzia.
Ndiyo mkuu nipo nikizidi kuangaza macho kutoa ushamba inanikumbusha mara kwanza kwenda Dar niliteseka sana kushangaa haswa majengo marefu lakini nilikuja zoea na sasa si mshamba tena hivyo mtanivumilia tu na hapa.Nakuona mkuu
Bitoz wakati naelekea kule post namba 3 naomba nifafanulie hapo juu unamaanisha nini? Ili niwe na msingi mzuri wa kuanza.Hapa hakuna superstar,shobo,wala ufagio
![]()
![]()
...........
Ushamba upo popote duniani, nakubaliana nawe kuwa hapa u mshamba kwani hujui ki achoendelea, nami naweza kuwa mshamba uliko ujanja wako majukwaa mengine.Ndiyo mkuu nipo nikizidi kuangaza macho kutoa ushamba inanikumbusha mara kwanza kwenda Dar niliteseka sana kushangaa haswa majengo marefu lakini nilikuja zoea na sasa si mshamba tena hivyo mtanivumilia tu na hapa.
Kiongozi kigoma kwema!Karibu huku
Karibu kiongozi....unatumia kinywaji gani mkuu???Nashukuru sana boss.
Nashukuru Werrason nimekaribia.
Nlichanganya madesa
Mutu ya kongoKaribu Maradonna