Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Wii nakumisMornie wii
Wii nakumisMornie wii
Nawe pia wiiAsubuh njema all
Miss youMorning family
Nakumiss pia my wiiWii nakumis
Habari za leo mkuu nimekuelewa sana nashukuru.Ushamba upo popote duniani, nakubaliana nawe kuwa hapa u mshamba kwani hujui ki achoendelea, nami naweza kuwa mshamba uliko ujanja wako majukwaa mengine.
Humu watu wanaheshimiana, shirikiana na kupendana but usisahau ku like
Mkuu nashukuru natumai umeamka salama leo?Karibu kiongozi....unatumia kinywaji gani mkuu???
Ila usitake chai
Ndugu nakushukuru sana.Diego Armando Maradona karibu mkuu
Somo limeeleweka hadi kwa vitendo nakushukuru mkuu.Yaani hakuna MEMBER MKUBWA kuliko wengine sisi wote ni MAKAPUKU na hatumshobokei mtu au kumfagilia(ukiona mtu anajifanya staa mpotezee)
Kwa ufupi nadhani umeelewa
.........
Mkuu goodmornNdugu nakushukuru sana.
Mkuu nashukuru natumai umeamka salama leo?
Somo limeeleweka hadi kwa vitendo nakushukuru mkuu.
Morning to you too mkuuMkuu goodmorn
heyNakumiss pia my wii
Michakato imebana
kwema boss...Furesh ndugu
Za kwako
jtano ya leo imekumbwa na ukimya kwel kwelUtulivu wenu nimeupenda leo