Makapuku Forum

Makapuku Forum

Magazeti ya leo October 7, 2023.
Screenshot_20231007_062347_Opera%20Mini.jpg
 
MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

KUNDI A

USM Alger
Future FC
Supersport United
Al Hilal

KUNDI B

Zamalek
Sagrada Esperanca
S.O.A.R
Abu Salim

KUNDI C

Rivers United
Club Africain
Dreams FC
APC Lobito

KUNDI D

RS Berkane
Diables Noirs
Stade Malien
Sekhukhune United
Screenshot_20231007_063432_Instagram.jpg
 
Droo ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

KUNDI A

Mamelodi Sundowns
Pyramids FC
TP Mazembe
FC Nouadhibou

KUNDI B

Wydad AC
Simba SC
ASEC Mimosas
Jwaneng Galaxy

KUNDI C

Esperance
Petro Atletico
Al Hilal
ESS

KUNDI D

Al Ahly SC
CR Belouizdad
Yanga SC
Medeama
Screenshot_20231007_063530_Instagram.jpg
 
Watu saba wamefariki dunia na wengine 22 wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Kiwawa Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, ikihusisha basi la kampuni ya Saibaba linalofanya safari zake Nachingwea kwenda Dar es salaam na basi dogo la kampuni ya Baharia linalofanya safari zake Dar es salaam kwenda Tandahimba.

Kamanda wa Polisi Mkoani Lindi, Pili Mande amesema chanzo cha ajali hiyo ni basi la kampuni ya Saibaba kutaka kulipita gari kubwa la mizigo ambalo lilikuwa mbele yake na ndipo likakutana na basi hilo dogo la kampuni ya Baharia likitokea Dar es salaam na kugongana uso kwa uso.

Waliofariki Dunia ni Lucas John (59) Dereva wa basi la Saibaba (Mkazi wa Arusha) ambaye amefariki papohapo na Omari Alli Abdalah (49) ambaye ni Dereva wa gari ndogo ya Baharia “Miili ya Watu wengine watano bado haijatambuliwa majina yao mpaka sasa”

“Majeruhi watatu ambao hali zao ni mbaya majina yao hayajafahamika ambapo kati yao Wanawake ni wawili na Mtoto mdogo wa kiume wote wamelazwa katika Hospitali ya Kinyonga Wilaya ya Kilwa”
Screenshot_20231007_063806_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom