Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Duh, najuta kuikosa hii aiseeOooppsss
Mchana mwema wapenzi
Duh, najuta kuikosa hii aiseeOooppsss
Mchana mwema wapenzi
Kusema ukweli mi labda nilale masaa 6 au zaidi ila chini ya hapo kuamka kwake lazima kuwe kugumuHaahaa.
Jimen, hata masaa matatu yanatosha sana kama tu utaamua kupumzika kweli.
Sema ratiba zikiingiliana hata miaka mia moja utaona ni michache.
Ndicho kilichonikuta.
Khaaa masaa 6 una lala kama safar ya dodoma , una lala ki sunnah tuu, masaa ma 3Kusema ukweli mi labda nilale masaa 6 au zaidi ila chini ya hapo kuamka kwake lazima kuwe kugumu
Kusema ukweli mi labda nilale masaa 6 au zaidi ila chini ya hapo kuamka kwake lazima kuwe kugumu
Hata sasa nalazimika kuamka mapema ila sio kwa kupenda kwangu, ni kwasababu tu inabidi hivyo hakuna namnaKila kitu ni mipango Jimena.
Kuna kipindi ni lazima utakuja kutana nacho huko mbeleni, utaamka bila hata shuruba.
Mark my words.
🙂🙂🙂🙂
Nimeipenda hiyo ya uinjiniaAsante injiniaaaa
Hayatoshi mkuu, vinginevyo naweza tembea huku nasinziaKhaaa masaa 6 una lala kama safar ya dodoma , una lala ki sunnah tuu, masaa ma 3
Sawa nasubir zawad tuuNimeipenda hiyo ya uinjinia
HahahaHayatoshi mkuu, vinginevyo naweza tembea huku nasinzia
Kipindi gani?? Nimekuwa nikiambiwa hivyo toka niko mdogo ila mpaka sasa hali ni ile ile,Masaa sita ni mengi sana kupumzika Jimena.
Kuna kipindi hutaweza kulala usiku wote na utakuwa poa kabisa.
Karibu sana duniani.
😉😉😉😉😉😉😉
Ni shiiidaHahaha
Apo mchana lazma usinzie tena angalia pasiwe pabaya
Kipindi gani?? Nimekuwa nikiambiwa hivyo toka niko mdogo ila mpaka sasa hali ni ile ile,
Sawa acha niwe mpole......Tuombe uzima,
Utakuja kuthibitisha ninachokisema siku za mbeleni.
Nakazia tena. Mark my words.
😉😉😉😉
Hivi, mvua zinaendela kunyesha au zimekata?
Hahaha
Apo mchana lazma usinzie tena angalia pasiwe pabaya
Asanteee
HahahaaLazima ulale tena kwa nguvu zote.
Ulikuwa wpDuh, najuta kuikosa hii aisee
Hahahaa
Na kweli
Asa mkuu unaulizia mvua kwa kipande ipi apa bongo, maana mivua ina tofautiana