Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Mpira ni biashara, sio mpira hurumaClub ya soka ya Simba imetangaza kumalizika kwa tiketi za mzunguko za Simba Day siku ya Jumamosi Jijini Dar es salaam ambako itacheza na Power Dynamo ya Zambia.
"Historia imeandikwa, kwa mara ya kwanza tiketi za mzunguko zimemalizika siku 3 kabla ya tukio.... kawaida Mzunguko humalizika siku ya tukio lakini safari hii mzunguko zimeisha mapema tena zimeisha kabla ya madaraja mengine wakati mara zote mzunguko ndo huwa za mwisho, asanteni sana wana Simba tukutane Simba Day" ——— ameandika @AhmedAlly_View attachment 2707737
Tunakoelekea kiingilio kitakuwa cha kawaida ni 10k na tutazoea tu.
huyu ndio anakunywa kiwango kidogo 